Tadiye
  • MWANZO
  • BESP
  • HABARI
  • WASILIANA
  • ENGLISH
November 14 2019

UZINDUZI WA PROGRAMU YA KIATAMIZI

admin Uncategorized

TANGAZO LA KUFUNGUA DIRISHA LA KUPOKEA MAOMBI

Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) Mkoa wa Dar es salaam linapenda kuwatangazia umma wa watanzania ya kwamba imeanza kupokea maombi ya maeneo maalum ya kulea ubunifu (kiatamizi). Watakaochaguliwa watapata fursa ya kulea ubunifu wao kwa muda wa miaka mitatu (3) na baadaye kuhitimu. Kwa kipindi chote hicho watapewa mafunzo ya kuwajengea uwezo, watashiriki semina mbalimbali, wataunganishwa na taasisi za fedha na vilevile taasisi za elimu ya juu.Maelezo zaidi

MAWAZO YA BIASHARA YALIVYOWAPA VIJANA MILLION 120

Related Posts

Uncategorized

MAWAZO YA BIASHARA YALIVYOWAPA VIJANA MILLION 120

Uncategorized

Washindi wa Duru la pili la wazo bora la ubunifu wa biashara

Uncategorized

Uwasilishaji wa mawazo ya kibunifu mbele ya jopo la majaji

Recent Posts

  • UZINDUZI WA PROGRAMU YA KIATAMIZI
  • MAWAZO YA BIASHARA YALIVYOWAPA VIJANA MILLION 120
  • Washindi wa Duru la pili la wazo bora la ubunifu wa biashara
  • Uwasilishaji wa mawazo ya kibunifu mbele ya jopo la majaji
  • WASHIRIKI WA AWAMU YA PILI YA SHINDANO LA ANDIKO LA BIASHARA WALIOCHAGULIWA KATIKA HATUA YA AWALI
Tadiye

Office

COSTECH Building, 3rd Floor
Box 4302, Kijitonyama
Dar es Salaam, Tanzania